15/01/2024
Jungu kuu yaomboleza kifo cha mwanzilishi wa chuo tajika cha Nairobi Institute of Business Studies (NIBS) , Lizzie Wanyoike Preparatory School na hoteli ya Emory.
Atakumbukwa kwa kuwa mstari wa mbele kuhakikisha masomo yanazingatiwa k**a pembejeo ya maendeleo na nasaha zake anuwai kwa wengi hasa wazazi na vijana π
Makiwa kwa familia, marafiki, wafanyakazi wake na wengi wa wanafunzi waliopitia mikononi mwake π
Mungu ailaze roho yake Liz Muthoni Wanyoike mahali pema π