23/09/2021
Katika maisha hakuna rafiki wa kudumuš„ kwani kila mtu unayekutana naye amepangiwa na mungu kusudi lake kwakoš¤na kusudi linapotimia Basi huondoka na kukuacha K**a alivyokukutaš kwa hiyo usihudhunike kwa kumpoteza ila shukuru kwa Yale ulojifunza kwakeš na pia ishi vyema na kila mmoja kwani hujui hatima yako unaifikiaješ„ epuka kudharau watu unaowajua na usiowajua, kwani watu hao umekutana nao kwa kusudi maalum na sio bahati mbayaš hakikisha maarifa ndo kitu kinachoongezeka kila siku š
by Mr T The CEO of LIBARATION OF MINDSET CHANNEL š attitude # meditation #